Hawa ndio baadhi ya wanawake wenye nguvu kisiasa Afrika.
Ellen Johnson Sirleaf - Rais wa Liberia |
Joyce Banda - Rais wa Malawi |
Ngozi Okonjo-Iweala - Waziri wa Fedha, Nigeria |
Luisa Dias Diogo - Aliwahi kuwa Waziri Mkuu, Mozambique |
Anna Makinda - Spika wa Bunge, Tanzania Ni umahiri wa wanawake hawa ndio unaotupa nguvu sisi kama wanawake na kutuongezea kujiamini. |
No comments:
Post a Comment