Monday, September 17, 2012

WANAWAKE NA SIASA

Miaka ya hivi karibuni, wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika medani za siasa barani Afrika na hata wengine wakiwa wameshikilia wadha mkubwa serikalini.

Hawa ndio baadhi ya wanawake wenye nguvu kisiasa Afrika.

Ellen Johnson Sirleaf - Rais wa Liberia

Joyce Banda - Rais wa Malawi

Ngozi Okonjo-Iweala - Waziri wa Fedha, Nigeria

Luisa Dias Diogo - Aliwahi kuwa Waziri Mkuu, Mozambique
Anna Makinda - Spika wa Bunge, Tanzania

Ni umahiri wa wanawake hawa ndio unaotupa nguvu sisi kama wanawake  na kutuongezea kujiamini. 

No comments:

Post a Comment