Tuesday, September 11, 2012

KIVUTIO

Umeshapigia kura?

Mlima Kilimanjaro ni miongoni mwa vivutio kutoka Tanzania ambavyo vimeingizwa kwenye shindano la kutafuta Maajabu Saba Asilia ya Afrika (SEVEN NATURAL WONDERS OF AFRICA). Vivutio vingine kutoka nchini ambavyo pia vimetajwa kwenye shindano hilo ni pamoja na Ngorongoro Crater na Serengeti National Park.

No comments:

Post a Comment