Mpaka sasa nani unahisi atanyakuwa kitita cha milioni 50? Kumbuka kumpigia kura mshiriki umpendae mara nyingi uwezavyo...... Jumanne nje!
Madam Rita
Tuesday, November 6, 2012
Thursday, October 25, 2012
WAZO LA LEO
"Kila jambo tunalokumbana nalo katika maisha, hata kama ni baya vipi, jambo hilo linatokea katika maisha yetu kutufunza kitu." - Iyanla Vanzant
Wednesday, October 24, 2012
Monday, October 15, 2012
Friday, October 5, 2012
WAZO LA LEO
"Kama hupendi kitu, badilisha. Kama hutofanikiwa kukibadilisha, badilisha mtazamo wako. Si kulalamika." – Maya Angelou
Tuesday, October 2, 2012
KANGA NA MAANDISHI YAKE
Maandishi ya kanga huwa yananifurahisha sana. Kama Mtanzania, najivunia sana utamaduni huu na muendelezo wa kudumisha utamaduni wetu wa kuvaa kanga.
Kwa mtazamo wangu, maandishi ya kanga yanafundisha namna moja au nyingine, ukiyasoma kwa kina na kupata kuelewa kanga hiyo imebeba ujumbe gani.
Mbali na kuwa maandishi mengi ya kanga ni misemo ya Kiswahili, pia maandishi hayo yanaweza yakawa ni ujumbe wa upendo, tahadhari, onyo au tu mtu binafsi kapenda kueleza anachohisi moyoni.
Kwa mtazamo wangu, maandishi ya kanga yanafundisha namna moja au nyingine, ukiyasoma kwa kina na kupata kuelewa kanga hiyo imebeba ujumbe gani.
SIRI NI YA WAWILI |
UTAUMIZA ROHO YAKO |
USIMLAUMU SISIMIZI SUKARI HAIMALIZI |
Subscribe to:
Posts (Atom)