Tuesday, September 18, 2012

NIKIONGELEA KUHUSU BSS

Nilipata fursa ya kuhojiwa na jarida la Bang Magazine. Mazungumzo yetu yalihusisha masuala yote kuhusiana na Bongo Star Search......


Kwa wale wote wenye maswali kuhusiana na EBSS, majibu mtayapata kwenye mahojiano baina yangu na Bang Magazine. Jarida hili linatarajia kuwa mtaani hivi karibuni...... Usikose kununua!

No comments:

Post a Comment