Monday, August 27, 2012

UBUNIFU KUTOKA AFRICA


Hii ni moja ya baiskeli zinazotengenezwa kutokana na mianzi. Baiskeli hizi zinatengenezwa na kampuni iitwayo Zambikes nchini Zambia. Zinatumiwa na watu mbali mbali wanaohitaji baiskeli kwa ajili ya kusafiri kutoka eneo moja kwenda lingine. HUU NI UBUNIFU WA HALI YA JUU ULIOTOKANA NA MAWAZO YA VIJANA AMBAO BAADA YA KUFUZU ELIMU YAO YA JUU, WALITAFUTA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MAFANIKIO NA BADALA YA KUKATA TAMAA YA MAISHA WAKAAMUA KUJIAJIRI. Kwa habari kamili, soma hapa;
http://edition.cnn.com/2012/05/31/business/bamboo-bicycles-zambia-zambikes/index.html?iref=allsearch

No comments:

Post a Comment